Author: Charles Adika
-
-
-
WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAM WALALAMIKIA GHARAMA YA MAISHA NCHINI.
Wanaharakati wa haki za binadam nchini wameshutumu hatua ya kuendelea kuongezwa bei za mafuta nchini hali ambayo imepelekea kupanda gharama ya maisha wakenya wengi wakishindwa kukidhi mahitaji ya kimsingi kukiwemo […]
-
KIWANGO CHA SAMAKI TURKWEL CHAONGEZEKA
Kiwango cha samaki katika bwawa la Turkwel katika kaunti hii ya Pokot magharibi kimeongezeka hali ambayo imepelekea kuimarika biashara ya samaki eneo hili.Mwenyekiti wa mamlaka ya maendeleo ya Kerio valley […]
-
MIITO YA AMANI MSIMU WA UCHAGUZI YAENDELEA KUTOLEWA.
Mwaniaji wa kiti cha Mwakilishi wadi ya Mnagei kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha ODM Richard Mwareng’ ameahidi kuimarisha maisha ya vijana iwapo atachaguliwa kuongoza wadi hiyo katika […]
Top News









