Author: Charles Adika
-
-
-
POGHISIO AHIMIZA KUZINGATIWA TAMADUNI ZA JAMII YA POKOT.
Ipo haja kwa viongozi mbali mbali ambao wanachaguliwa kuongoza kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia pakubwa swala la tamaduni za jamii ya kaunti hii.Akizungumza baada ya kuhudhuria sherehe ya kitamaduni […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI.
Kiongozi wa vijana youth bunge katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewataka vijana katika kaunti hii kudumisha amani kabla wakati na hata baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WANAWAKE TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA SEKTA YA JUA KALI.
Kutokana na mchango wa sekta ya jua kali kwa uchumi wa taifa ambayo ni asilimia ishirini na tano wakenya wa jinsia ya kike wameshauriwa kujiunga na sekta hiyo ili kunufaika […]
-
Top News








