Author: Charles Adika
-
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WAELEZEA HOFU YA KUSAJILI HASARA MSIMU HUU.
Baadhi ya wakulima wa mahindi katika kaunti ya trans nzoia wameelezea wasi wasi wa kusajili hasara kubwa pindi watakapovuna mazao yao mwishoni mwa mwaka huu.Wakulima hao wamesema kuwa wengi wao […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU VURUGU ZINAZOSHUHUDIWA KATIKA MIKUTANO YA KISIASA.
Wananchi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kukashifu vurugu ambazo zilishuhudiwa katika mkutano wa muungano wa Kenya kwanza hiyo jana katika uwanja wa Jacaranda jijini Nairobi ambapo makundi mawili pinzani […]
-
WAKENYA KUENDELEA KUGHARAMIKIA HALI NGUMU YA MAISHA HADI BAADA YA UCHAGUZI MKUU.
Wakenya watalazimika kuendelea kugharamikia hali ngumu ya maisha inayotokana na kuendelea kuongezeka bei ya mafuta hadi baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi agosti wakati vikao vya bunge vitakaporejelewa […]
-
-
Top News








