Author: Charles Adika
-
IEBC YAENDELEA KUIDHINISHA WAGOMBEA NYADHIFA ZA KISIASA AGOSTI 9.
Wagombea nyadhifa mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameidhinishwa rasmi na tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwania nyadhifa hizo katika uchaguzi mkuu wa tarehe tisa mwezi […]
-
KUP CHAPUUZA MADAI YA KUTOKUWA NA UWEZO WA KUUZA AZIMIO POKOT MAGHARIBI.
Chama cha KUP katika kaunti hii ya Pokot magharibi kimepinga vikali madai kuwa hakina uwezo wa kuuza sera za chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya katika kaunti […]
-
WATU WATATU WAULIWA TOT ELGEYO MARAKWET.
Watu watatu wameuliwa kwa kupigwa risasi kufuatia shambulio ambalo limetekelezwa na washukiwa wa wizi wa mifugo katika eneo la Kapkoros Tot katika kaunti ya Elgeyo Marakwet.Kulingana na ripoti ya idara […]
Top News






