Author: Charles Adika
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKA MKEWE MAREHENI MWAKILISHI WADI JOHNSTONE LOKATO KUMRIDHI KUONGOZA ENEO LA LELAN
Siasa za urithi wa mwakilishi wadi ya Lelan eneo la pokot kusini katika kaunti hii ya Poko magharibi Johnson Lokato ambaye aliaga dunia zimesheheni mazishi yake ambayo yameandaliwa hiyo jana.Baadhi […]
-
SERKALI KUU YAANZISHA MPANGO WA UJENZI WA CHUO CHA UTABIBU TRANSNZOIA ENEO LA CHERANGANYI
Serikali imeanzisha mpango wa ujenzi wa chuo cha mafunzo ya utabibu katika eneo la cherang’ani kaunti ya Trans nzoia ikiwa njia moja ya kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinafika […]
-
CHUO CHA KITALE CHA NATIONAL POLYTECHNIC KNP CHA TEUA RAIS MPYA MIONGONI MWA WANAFUNZI KAUNTI YA TRANSNZOIA
Dan Tanganyika ndiye Rais mpya wa chuo cha kitaifa cha Kitale national polytechnic (KNP) kufuatia uchaguzi ulioandaliwa katika chuo hicho. Kwenye mkao na wanahabari baada ya kuapishwa rasmi Tanganyika ameahidi […]
-
MAAFISA KATIKA IDARA YA USALAMA WALAUMIWA KWA KUINGILIA SIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin amewalaumu maafisa katika idara ya usalama nchini kufuatia kukithiri utovu wa usalama hasa katika eneo la […]
Top News








