Author: Charles Adika
-
LONYANGAPUO AKOSOLEWA KUTOKANA NA CHANGUO LAKE LA MGOMBEA MWENZA.
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amemsuta gavana wa sasa John Lonyangapuo kwa kumchagua mgombea mwenza mwenye majina sawa na yake.Kachapin ambaye ni gavana wa kwanza […]
-
WAKAZI WA MUINO WALALAMIKIA HALI MBOVU YA MIUNDO MBINU.
Wakazi wa eneo la Muino katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali mbovu ya miundo mbinu eneo hilo.Wakiongozwa na Abraham Toiyareng, wakazi hao wamesema kuwa bararabara za eneo hilo […]
-
UONGOZI WA KHAEMBA WAKOSOLEWA TRANS NZOIA.
Viongozi mbali mbali hasa wanaoegemea chama cha DAP-K katika kaunti ya Trans nzoia wameendeleza shutuma zao kwa uongozi wa gavana Patrick Khaemba kutokana na kile wamedai kushindwa kuwajibikia maswala ambayo […]
-
WITO WA USALAMA WAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA BONDE LA KERIO.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti za bonde la Kerio kukumbatia amani na kutojihusisha na maswala ya uvamizi ambao umegharimu maisha ya wakazi wengi huku baadhi wakilazimika kuyakimbia makazi yao.Ni […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWAHAKIKISHIA WAKAZI WA BARINGO USALAMA.
Mwakilishi wa wadi ya Bartabwa katika eneo bunge la Baringo kaskazini kaunti ya Baringo Reuben Chepsongol ametoa wito kwa serikali kuwahakikishia usalama wao wakazi wa kaunti hiyo kutokana na uvamizi […]
Top News









