Author: Charles Adika
-
WAGOMBEA NYADHIFA ZA KISIASA WAPONGEZWA KWA KUWATEUA WANAWAKE KUWA WAGOMBEA WENZA.
Hatua ya Viongozi mbali mbali kuwateua akina mama kuwa wagombea wenza nchini inazidi kupokelewa vyema na baadhi ya Viongozi katika Kaunti ya Trans-Nzoia.Mgombea wa kiti Cha ubunge eneo la Endebess […]
-
SERIKALI YAENDELEZA MCHAKATO WA KUTATUA MIZOZO YA ARDHI KACHELIBA.
Serikali inaendeleza shughuli ya kutatua mizozo inayohusu ardhi ambayo imekuwepo kwa muda sasa hasa kupitia kugawa baadhi ya vipande vya ardhi kwa wakazi katika eneo la Kacheliba kaunti hii ya […]
-
VIJANA WATAKIWA KUTOTUMIKA NA WANASIASA MSIMU HUU WA UCHAGUZI.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutokubali kutumika visivyo na wanasiasa kuvuruga amani hasa wakati huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito ambao umetolewa na […]
-
NHIF YATAFUTA MAONI YA KUIMARISHA HUDUMA ZAKE TRANS NZOIA.
Bima ya kitaifa ya afya NHIF imeandaa kongamano na wahudumu wa umma ili kupata maoni ya jinsi bima hiyo inaendelea kuimarisha huduma yake kwa wafanyakazi wa serikali nchini.Kwenye mkao na […]
Top News








