Author: Charles Adika
-
SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AWASILISHA MAKARATASI YAKE KATIKA OFISI YA IEBC
Mwaniaji wa kiti cha mwakilishi kina mama katika kaunti hii ya Pokot magharibi ambaye ni spika wa bunge la kaunti hii Catherine Mukenyang ameidhinishwa rasmi kuwania kiti hicho katika uchaguzi […]
-
MWANAKANDARASI ANAYE WEKA LAMI BARABARA YA LESOS KOLONGOLO ASHUTUMIWA NA WAKAAZI KWA KAZI DUNI
Wakaazi wa eneobunge la kwanza wamepaza sauti zao kulalamikia hatua ya Mwanakandarasi kutia Lami Barabara ya Lesos Namanjalala Kolongolo ambayo haiwezi kutumika na malori yanayobeba mizigo yenye uzani unazidi tani […]
-
OPARESHENI KALI YAANZISHWA YA KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPELEKWA SHULENI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Zaidi ya wanafunzi alfu 4 hawajaripoti shuleni tangu kuanza zoezi la kuwasajili wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa kamishina wa […]
Top News








