Author: Charles Adika
-
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII.
Naibu Gavana Kaunti ya Trans Nzoia Philomena Kapkory amesema serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia imeweka mikakati kupiga jeki sekta ya utali. Akihutubu kwenye maadhimisho ya siku ya utalii nchini […]
-
BARAZA LA MAWAZIRI LA RAIS WILLIAM RUTO LAENDELEA KUIBUA HISIA NCHINI.
Hisia mseto zimeanza kuibuliwa miongoni mwa wananchi kufuatia hatua ya rais William Ruto kuteua baraza lake la mawaziri. Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamepongeza baraza hilo […]
-
MAUAJI YA WATU 11 WAKIWEMO POLISI 8 TURKANA YAENDELEA KUKASHIFIWA.
Viongozi mbali mbali kutoka eneo la bonde la kerio wameendelea kukashifu mauaji ya watu 11 wakiwemo maafisa 8 wa usalama katika kaunti ya Turkana yaliyotekelezwa jumamosi na watu wanaoshukiwa kuwa […]
Top News









