Author: Charles Adika
-
“PUNGUZA POMBE UWASHUGHULIKIE WAFANYIKAZI,” BARASA AMWAMBIA ATWOLI.
Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa mamsuta katibu mkuu wa COTU Francis Atwoli kufuatia pendekezo lake la kutaka serikali kupiga marufuku mashirika ya ajira ambayo husafirisha wafanyakazi Wakenya nchini Saudi Arabia. […]
-
ZAIDI YA WATU 1000 WAKABILIWA NA MATATIZO YA AKILI TRANS NZOIA.
Serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia imeweka mikakati ya kuimarisha matibabu kwa watu wanaoishi na matatizo ya akili. Akihutubu kwenye hafla ya maadhimisho ya siku ya afya ya akili ulimwenguni […]
-
TODOSIA AAHIDI KUTOA KIPAU MBELE KWA SWALA LA ELIMU MNAGEI.
Mwakilishi wadi ya Mnagei eneo bunge la Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia ameahidi kutoa kipau mbele kwa miundo mbinu ya sekta ya elimu ili kuimarisha viwango […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau wa sekta ya elimu katika kaunti hii ya Pokot magharibi kushirikiana ili kuhakikisha kuwa viwango vya elimu vinaimarika hasa matokeo ya mitihani ya kitaifa. Ni wito […]
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA POKOT MAGHARIBI YAKASHIFWA VIKALI
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamesuta oparesheni ya kiusalama ambayo inaendeshwa katika baadhi ya maeneo ya kaunti hii hasa eneo la marich kufuatia uvamizi uliofanyika kaunti […]
Top News









