Author: Charles Adika
-
WADAU WAENDELEZA UHAMASISHO KUHUSU MABADILIKO YA HALI YA ANGA.
Ipo haja kwa serikali za kaunti kubuni na kutekeleza sheria kuhusu mabadiliko ya hali ya anga kando na kubuni bajeti kushughulikia hali hiyo. Akizungumza baada ya kuongoza kikao na wakazi […]
-
KOMOLE AKANA RIPOTI KUWA POKOT MAGHARIBI HAIJAATHIRIKA NA BAA LA NJAA.
Naibu gavana kaunti hii ya Pokot magharibi Robert Komole amepinga vikali ripoti inayoonyesha kwamba kaunti hii haijaathirika pakubwa na baa la njaa ilivyo katika kaunti 23 ambazo zimetajwa kukumbwa na […]
-
KACHAPIN AENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti hii ya Poko magharibi Simon Kachapin aliandaa jana jioni kikao na balozi wa Denmark humu nchini Ole Thonke katika makao makuu ya ubalozi wa taifa hilo ulioko […]
Top News








