Author: Charles Adika
-
VISA VYA DHULUMA DHIDI YA WAKENYA SAUDI ARABIA VYAENDELEA KURIPOTIWA.
Familia ya Betty Wanjala mwenye umri wa miaka ishirini na mitano na mkaazi wa kijiji cha Pombo mtaani lesos katika kaunti ya Trans nzoia imeomba serkali kuingilia kati na kumrejesha […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI KUPOKEA MBOLEA YA BEI NAFUU POKOT MAGHARIBI.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia mbolea ya bei nafuu ambayo serikali ya Kenya kwanza ilitoa kwa ajili ya wakulima katika juhudi za kuhakikisha kwamba uzalishaji wa […]
-
VISA VYA NDOA ZA MAPEMA BADO VINASHUHUDIWA ENEOBUNGE LA KACHELIBA
Wadau mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kuendelea kushuhudiwa visa vya ndoa pamoja na mimba za mapema kwa watoto wa kike licha ya juhudi ambazo zinawekwa katika […]
-
UONGOZI ULIOTANGULIA WA LAUMIWA KWA KUTOTEKELEZA MIUNDO MSINGI POKOT MAGHARIBI
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amelaumu uongozi uliotangulia maeneo anayoshuhudia ukosefu wa usalama hasa eneo la Tiati katika kaunti ya Baringo kwa kuchangia visa […]
Top News









