Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA LONYANGAPUO YASUTWA KWA KUWATELEKEZA WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO YA ARDHI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kushutumu uongozi uliotangulia kwa kuwatelekeza wakazi walioathiriwa na maporomoko ya ardhi miaka mitatu iliyopita baada ya kupatikana katika afisi za […]
-
SAVE MOTHERS LAJITOLEA KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WANAPOJIFUNGUA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameelezea kujitolea kwa serikali yake kuimarisha sekta ya afya katika kaunti hii kwa lengo la kuhakikisha kuwa wakazi wanapokea huduma bora […]
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI AMEAHIDI KUWAONDOA WAFANYAKAZI HEWA
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekariri kuwa serikali yake itafanya ukaguzi wa kina ili kuwaondoa wafanyikazi wote hewa anaodai kuwa wamechangia kupotea fedha za serikali ambazo […]
-
POLISI WAMEOKOA MSHUKIWA WA WIZI KAUNTI YA TRANSNZOIA
Maafisa wa Polisi mjini kitale wamelazimika kutumia Vitoza machozi kuwatawanya Wahudumu wa Bodaboda waliojawa Gadhabu ambao wamekuwa wakimpiga mshukiwa wa wizi wa pikipiki kwa mawe na vifaa Butu. Mmoja wa […]
Top News








