Author: Charles Adika
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA POKOT MAGHARIBI YAKASHIFWA VIKALI
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamesuta oparesheni ya kiusalama ambayo inaendeshwa katika baadhi ya maeneo ya kaunti hii hasa eneo la marich kufuatia uvamizi uliofanyika kaunti […]
-
IDADI YA WENYEJI KUNGATWA NA NYOKA YAONGEZEKA KAPTARA BARINGO
Jumla ya visa 378 vya watu kung’atwa na nyoka vimeripotiwa katika maeneo tofauti ya kaunti ya baringo kati ya mwezi januari na septemba mwaka huu 2022, huku idadi kamili ya […]
-
HISIA ZINAENDELEA KUTOLEWA KUHUSIANA NA JOPO LILILOBUNIWA LA KUANGAZIA MTAALA WA CBC POKOT MAGHARIBI.
Viongozi wa miungano ya walimu maeneo mbali mbali ya nchi wameendelea kuibua hisia mbali mbali kuhusiana na hatua ya rais William Ruto kubuni jopo la kuangazia utekelezwaji wa mtaala mpya […]
-
MAWAZIRI WAPIGWA MSASA NA BUNGE POKOT MAGHARIBI
Mawaziri waliopendekezwa kuhudumu katika baraza la mawaziri la kaunti hii ya Pokot magharibi hatimaye wamepigwa msasa na kamati ya bunge la kaunti. Akifika mbele ya kamati hiyo Esther Chelimo ambaye […]
Top News








