Author: Charles Adika
-
MWANAMME MMOJA AZUILIWA KATIKA KITUO CHA POLISI CHA KAPENGURIA KWA KUMUUA MKEWE.
Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 41 kutoka eneo Bunge la sigor kaunti hii ya Pokot magharibi anazuiliwa katika kituo cha polisi cha kapenguria akisubiriwa kufikishwa mahakamani baada ya kudaiwa […]
-
WAZIRI MAGOHA AZUA MDAHALO BAADA YA KUZUBAA KWENYE STEJI.
Waziri wa Elimu Pro. George Magoha alizua mjadala mtandaoni baada ya kuonekana amezubaa kwenye jukwaa wakati wa hafla ya mashindano ya muziki.Magoha ni mmoja wageni ambao walioalikwa kuhudhuria tamasha la […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUANZISHA OPARESHENI YA KUKABILI WIZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Baringo wanaitaka serikali ya kitaifa kutangaza oparesheni ya kuwakabili majangili wanaoendeleza visa vya wizi wa mifugo na mauaji katika eneo la bonde la kerio.Wakiongozwa […]
-
WATU 11 WAKIWEMO POLISI WANANE WAUAWA TURKANA.
Hali ya Taharuki ingali imetanda katika eneo la Kamuge Turkana Mashariki, baada ya wezi wa mifugo kushambulia gari la polisi lililokuwa limebeba maafisa 8 wa usalama, Chifu wa Napeitom na […]
Top News









