Author: Charles Adika
-
IDADI YA WENYEJI KUNGATWA NA NYOKA YAONGEZEKA KAPTARA BARINGO
Jumla ya visa 378 vya watu kung’atwa na nyoka vimeripotiwa katika maeneo tofauti ya kaunti ya baringo kati ya mwezi januari na septemba mwaka huu 2022, huku idadi kamili ya […]
-
HISIA ZINAENDELEA KUTOLEWA KUHUSIANA NA JOPO LILILOBUNIWA LA KUANGAZIA MTAALA WA CBC POKOT MAGHARIBI.
Viongozi wa miungano ya walimu maeneo mbali mbali ya nchi wameendelea kuibua hisia mbali mbali kuhusiana na hatua ya rais William Ruto kubuni jopo la kuangazia utekelezwaji wa mtaala mpya […]
-
MAWAZIRI WAPIGWA MSASA NA BUNGE POKOT MAGHARIBI
Mawaziri waliopendekezwa kuhudumu katika baraza la mawaziri la kaunti hii ya Pokot magharibi hatimaye wamepigwa msasa na kamati ya bunge la kaunti. Akifika mbele ya kamati hiyo Esther Chelimo ambaye […]
-
SERIKALI YA LONYANGAPUO YASUTWA KWA KUWATELEKEZA WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO YA ARDHI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kushutumu uongozi uliotangulia kwa kuwatelekeza wakazi walioathiriwa na maporomoko ya ardhi miaka mitatu iliyopita baada ya kupatikana katika afisi za […]
-
SAVE MOTHERS LAJITOLEA KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WANAPOJIFUNGUA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameelezea kujitolea kwa serikali yake kuimarisha sekta ya afya katika kaunti hii kwa lengo la kuhakikisha kuwa wakazi wanapokea huduma bora […]
Top News









