Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WAFURAHIA MBOLEA YA BEI NAFUU TRANS NZOIA.
Wakulima Kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wameelezea furaha yao kuhusu serikali kuu kutoa kwa mbolea ya bei nafuu ya shilingi 3500 kwa kila gunia ya kilo 50 ya mbolea.Wakihutubu mjini […]
-
MIKAKATI YA UJENZI WA BARABARA KUU YA KITALE –LOKICHAR YAENDELEZWA
Kampuni ya kutoa ushauri kuhusu ujenzi wa barabara kuu ya Kitale-morpus –Lokichar ya CGP Consulting Engineers inaendeleza vikao na wadau mbali mbali kupata maoni kuhusu mradi huo kabla ya kutekelezwa […]
-
SPIKA WA BUNGE WA POKOT MAGHARIBI AHIDI KUFANYA VYEMA KATIKA KULIONGOZA BUNGE
Spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Fredrick Kaptui amesisitiza kujitolea kwake kuhakikisha kwamba wabunge katika bunge la tatu la kaunti hii wanafanya kazi kwa pamoja na kwa […]
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI AMPONGEZA SPIKA WA POKOT BAADA YA KUCHAGULIWA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amempongeza spika wa bunge la kaunti hii Fredrick Kaptui kwa kuchaguliwa kama spika wa tatu kuongoza bunge hilo akielezea imani yake […]
-
Top News








