Author: Charles Adika
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI AMEAHIDI KUWAONDOA WAFANYAKAZI HEWA
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekariri kuwa serikali yake itafanya ukaguzi wa kina ili kuwaondoa wafanyikazi wote hewa anaodai kuwa wamechangia kupotea fedha za serikali ambazo […]
-
POLISI WAMEOKOA MSHUKIWA WA WIZI KAUNTI YA TRANSNZOIA
Maafisa wa Polisi mjini kitale wamelazimika kutumia Vitoza machozi kuwatawanya Wahudumu wa Bodaboda waliojawa Gadhabu ambao wamekuwa wakimpiga mshukiwa wa wizi wa pikipiki kwa mawe na vifaa Butu. Mmoja wa […]
-
VISA VYA DHULUMA DHIDI YA WAKENYA SAUDI ARABIA VYAENDELEA KURIPOTIWA.
Familia ya Betty Wanjala mwenye umri wa miaka ishirini na mitano na mkaazi wa kijiji cha Pombo mtaani lesos katika kaunti ya Trans nzoia imeomba serkali kuingilia kati na kumrejesha […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI KUPOKEA MBOLEA YA BEI NAFUU POKOT MAGHARIBI.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia mbolea ya bei nafuu ambayo serikali ya Kenya kwanza ilitoa kwa ajili ya wakulima katika juhudi za kuhakikisha kwamba uzalishaji wa […]
Top News








