Author: Charles Adika
-
MWANAMKE AJILIPIA MAHARI KAKAMEGA.
Mwanamke mmoja kutoka kijiji cha shangazi kata ndogo ya marakusi kaunti ndogo ya lugari kaunti ya kakamega amewashangaza wakazi baada ya kuwafungua ng’ombe wawili wa mumewe zizini na kuwapeleka kwao […]
-
UHABA WA MUKOMBERO WAKUMBA MAGHARIBI YA NCHI.
Uhaba wa mukombero unakumba eneo la Magharibi mwa Kenya na kuwalazimu wafanyabiashara kuvuka mpaka na kuingia taifa jirani la Uganda kusaka mmea huo. Wafanyabiashara wa mukombero sasa wanahofia kwamba katika […]
-
WAWAKILISHI WADI WAPYA KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAPOKEA MAFUNZO
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi linatarajiwa kurejelea vikao vyake hapo kesho jumatano vikao ambavyo vinatarajiwa kutumika kuapishwa waakilishi wadi pamoja na kumchagua spika wa bunge hilo.Wakizungumza baada ya […]
-
WALEMAVU KAUNTI YA POKOT WATAKA HAKI KUTENDEKA
Walemavu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia jinsi ambavyo liliendeshwa zoezi la uteuzi miongoni mwa vyama vya kisiasa wakidai kutengwa katika uteuzi huo licha ya kutuma maombi.Wakiongozwa na mwenyekiti […]
-
BARAZA AWASHUTUMU WALIMU KUTUMIA CBC KULA KUKU ZA WAZAZI.
Mbunge mwenye utata wa eneo bunge la Kimilili katika kaunti ya Bungoma Didmus Baraza amewasuta walimu katika kile amedai kutumia mtaala mpya wa elimu CBC kujinufaisha kutoka kwa wazazi.Akizungumza katika […]
Top News










