Author: Charles Adika
-
VISA VYA NDOA ZA MAPEMA BADO VINASHUHUDIWA ENEOBUNGE LA KACHELIBA
Wadau mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kuendelea kushuhudiwa visa vya ndoa pamoja na mimba za mapema kwa watoto wa kike licha ya juhudi ambazo zinawekwa katika […]
-
UONGOZI ULIOTANGULIA WA LAUMIWA KWA KUTOTEKELEZA MIUNDO MSINGI POKOT MAGHARIBI
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amelaumu uongozi uliotangulia maeneo anayoshuhudia ukosefu wa usalama hasa eneo la Tiati katika kaunti ya Baringo kwa kuchangia visa […]
Top News








