Author: Charles Adika
-
‘KELELE’ ZA KINDIKI ZAONEKANA KUTOYUMBISHA NAFSI ZA WAVAMIZI BONDE LA KERIO.
Washukiwa wa wizi wa mifugo wamevamia vijiji vya Lokwar, Nakuse na Kaptir Turkana kusini kaunti ya Turkana na kuwaua wanafunzi wanne huku mamia ya wakazi wakilazimika kuyakimbia makazi yao kutokana […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUZINDUA BASARI KWA WANAFUNZI IJUMAA WIKI HII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inatarajiwa kutoa hundi za fedha za basari kwa wanafunzi wote waliotuma maombi ya kutaka ufadhili huo kuanzia ijumaa wiki hii katika shughuli itakayofanyika shule […]
-
WALIMU KUTOKA POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUNYIMWA UHAMISHO NA AFISI ZA TSC TRANS NZOIA.
Mamia ya walimu kutoka kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kupiga kambi katika afisi ya Kamishna wa kaunti ya Trans-Nzoia, kulalamikia hatua ya tume ya kuajiri walimu nchini, TSC, kuchelewesha uhamisho […]
-
MAAFISA WA ELIMU POKOT MAGHARIBI WAENDESHA UKAGUZI SHULENI MASOMO YA GREDI YA SABA YAKIANZA RASMI.
Maafisa katika idara ya elimu na ile ya usalama kaunti ya pokot magharibi wamefanya ukaguzi katika baadhi ya shule kwenye kaunti hiyo wakati wanafunzi waliofanya mtihani wa gredi ya sita […]
Top News