Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VITENGO VYA USALAMA KUKABILI UHALIFU.
Kamishina kaunti ya Pokot magharibi Apolo Okelo ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana kushirikiana na idara za usalama katika kukabili hali ya utovu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YALENGA KUJENGA KITUO KIPYA CHA AFYA MJINI MAKUTANO
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza mikakati ya kujenga kituo kipya cha afya mjini Makutano lengo kuu likiwa kupunguza msongamano katika hospitali ya Kapenguria. Akizungumza wakati akikagua eneo ambako […]
-
CHUO KIKUU CHA ELDORET CHAENDELEZA MRADI WA KUHIFADHI UDONGO NA KUTUNZA MAZINGIRA CHEPARERIA.
Chuo Kikuu Cha Eldoret kupitia kwa Wakfu wa Utunzaji wa Mazingira na uzalishaji kupitia ukulima kinaendeleza mradi wa kuzuia mmomonyoko wa udongo kwa kujenga vizuizi kwenye mikondo ya maji katika […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WACHOMAJI MAKAA ENEO LA RIWO, POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Riwo kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutunza vyema miti eneo hilo na kutojihusisha na shughuli ya ukataji miti kwa ajili ya kuendeleza biashara ya makaa. Ni […]
Top News







