Author: Charles Adika
-
RAIS ATAKIWA KUCHUKUA HATUA NA KUMALIZA MARA MOJA ‘MCHEZO’ WA RAILA.
Mwakilishi wadi mteule kaunti ya Pokot magharibi Elijah Kasheusheu ametoa wito kwa rais William Ruto kusimama kidete na kukabiliana na vinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MAFUNZO KWA WALIMU WA ECDE KUHUSU MTAALA WA CBC.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeandaa warsha ya walimu wa chekechea ECDE ili kutoa mafunzo kwa walimu hao hasa kuhusu jinsi ya kuwashughulikia watoto kabla ya kujiunga na shule […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA HADHI YA MIJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza mikakati kwa ushirikiano na idara mbali mbali kuhakikisha kwamba miji ya kapenguria na Chepareria inaimarika hata zaidi. Akizungumza wakati wa uteuzi wa wanachama […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA MANUFAA YA WAKAZI.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametoa wito kwa viongozi katika kaunti hiyo kushirikiana na kuweka maslahi ya wakazi mbele ili kuhakikisha kwamba wananufaika pakubwa chini ya […]
-
WANASIASA WALAUMIWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Viongozi wa kisiasa kutoka kaunti za bonde la kerio wamewahusisha baadhi ya wanasiasa na utovu wa usalama ambao umekithiri maeneo haya katika siku za hivi karibuni. Wakizungumza katika hafla moja […]
-
POGHISO AWASUTA WANASIASA KWA KUGEUZA HAFLA YA MAOMBI ILIYOONGOZWA NA RAIS KUWA UKUMBI WA MALUMBANO.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amekosoa jinsi ambavyo viongozi wa kisiasa walijiendesha katika hafla ya shukrani iliyoongozwa na rais William Ruto katika uwanja wa makutano kaunti […]
-
Top News










