Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WAHIMIZWA KUKUMBATIA KILIMO CHA KAHAWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wamehimizwa kupanda kahawa kwa wingi ili kujiimarisha kimapato kando na kuhakikisha uchumi wa kaunti hii unaimarika. Akizungumza eneo la Tartar wakati wa mafunzo kwa […]
Top News







