Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAZINDUA USAMBAZAJI WA DAWA YA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 40.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imezindua rasmi shughuli ya usambazaji wa dawa za kima cha shilingi milioni 40 katika zahanati mbali mbali za kaunti, ambazo ilipokea kutoka kwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA POKOT NA MARAKWET
Viongozi kaunti ya Pokot Magharibi wameendelea kuishinikiza serikali kuimarisha usalama maeneo ya Kamologon kwa kuhakikisha kwamba maafisa zaidi wa usalama wanatumwa eneo hilo ambako watu wawili wameuliwa hivi majuzi na […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WAAHIDI KUSHIRIKIANA KUKABILI UJANGILI
Viongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameahidi kushirikiana na wenzao wa kaunti jirani ya Elgeyo marakwet katika juhudi za kuhakikisha kwamba kunashuhudiwa amani ya kudumu maeneo ya mipakani pa […]
Top News








