Author: Charles Adika
-
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA BUNDUKI ZILIZOKABIDHIWA MAAFISA WA NPR KUTWALIWA.
Baadhi ya viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuilaumu serikali kupitia wizara ya usalama wa ndani ya nchi kwa kuwakabidhi maafisa wa akiba NPR upande wa Elgeyo marakwet Bunduki na […]
-
KUNDI MOJA LAONGOZA MATEMBEZI YA KILOMITA 367 KUHIMIZA AMANI KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Kundi moja linaloshughulikia maswala ya amani kutoka kaunti Jirani ya Turkana limeungana na viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi katika matembezi ya kuhimiza amani miongoni mwa jamii za Turkana na […]
Top News








