Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAHUSISHA HATUA YA KUWAHAMI NPR WA UPANDE WA ELGEYO MARAKWET NA MAUAJI YA WATU WAWILI KAMOLOGON.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole amesuta hatua ya wizara ya usalama chini ya waziri Kithure Kindiki kuwakabidhi bunduki maafisa wa NPR wanaohudumu upande wa Elgeyo marakwet na […]
-
POLISI KACHELIBA WAMZUILIA MWANAMME ALIYEJARIBU KUMHEPESHA MWANAFUNZI KWA LENGO LA KUMWOA.
Mwanafunzi wa shule moja ya upili ya Wasichana Eneo bunge la Kacheliba kaunti ya Pokot Magharibi ameokolewa mikononi mwa mwanaume aliyekuwa akijaribu kumtorosha punde tu walipofunga shule mapema jana. Akithibitisha […]
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAPEWA MAKATAA YA SIKU 21 KUFANYA UCHAGUZI MPYA.
Afisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imelipa baraza la wazee katika kaunti ya Pokot magharibi siku 21 kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Kulingana na mshirikishi wa baraza hilo kanda ya […]
-
WATU WAWILI WAUAWA KWENYE UVAMIZI KAMOLOGON
Taharuki imeendelea kukumba kijiji cha Kamologon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet baada ya majangili wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani kuvamia kijiji hicho na kuwaua […]
Top News








