Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA VITUO VYA POLISI KUJENGWA KWA WIKI MAENEO YA MIPAKANI ILI KUIMARISHA DORIA ZA KIUSALAMA.
Aliyekuwa mwakilishi wadi maalum kaunti ya Pokot magharibi Grace Rengei ametoa wito kwa serikali kujenga vituo vya polisi maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani za […]
-
RUTO: TUTAYAPA MATAKWA YA WANANCHI KIPAU MBELE KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO.
Waziri wa barabara katika kaunti ya Pokot magharibi Joshua Ruto amesema serikali ya kaunti hiyo itatekeleza miradi yake ya maendeleo kulingana na matakwa ya wananchi. Akizungumza eneo la Chepareria wakati […]
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUPANDA CHAKULA CHA MIFUGO KWA WINGI MSIMU HUU WA MVUA.
Wafugaji katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia msimu huu wa mvua kupanda kwa wingi chakula cha mifugo ili kuwa na uhakikisho wa lishe ya mifugo wakati mvua ikipungua. Akizungumza […]
-
NZI WATAJWA KUWA KERO KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA POKOT MAGHARIBI.
Wagonjwa katika hospitali ya kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kukithiri nzi katika wadi za hospitali hiyo hali wanayoelezea hofu kwamba huenda ikapelekea mkurupuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu. Walisema […]
Top News








