Author: Charles Adika
-
RASLIMALI NA MIPAKA YATAJWA KUWA VYANZO VYA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali kufanikisha maendeleo hasa maeneo ya mipakani ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama kama moja ya mikakati ya kutia kikomo kwa uvamizi wa […]
-
SERIKALI YAAGIZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOFUNGWA KUFUATIA UTOVU WA USALAMA POKOT MAGHARIBI.
Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ameagiza kufunguliwa shule zote ambazo zilifungwa kutokana na ukosefu wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi ili kuwaruhusu watoto kutoka […]
-
UKEKETAJI WASALIA CHANGAMOTO KATIKA BAADHI YA MAENEO POKOT MAGHARIBI.
Chifu wa eneo la yanglomu Lomut kaunti hii ya Pokot magharibi Yohana Loritai amelalamikia kukithiri visa vya ukeketaji wa watoto wa kike licha ya juhudi za serikali na mashirika mbali […]
Top News








