Author: Charles Adika
-
POGHISIO: TUACHIE JUKUMU LA KUBAINI MIPAKA TUME YA UCHAGUZI NA KURATIBU MIPAKA IEBC.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu mizozo inayozingira mpaka wa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana wakitoa wito kwa viongozi wa kisiasa kutoka pande zote mbili kuwa makini […]
-
WAKUU WA SHULE POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUBUNI MBINU ZA KUIMARISHA MATOKEO YA MITIHANI YA KITAIFA.
Wakuu wa shule za kaunti ya Pokot magharibi pamoja na wadau wengine wametakiwa kuhakikisha kwamba wanaweka mikakati bora itakayosaidia kuhakikisha matokeo ya mitihani ya kitaifa yanaimarika hata zaidi.Akizungumza katika shule […]
-
RAIS RUTO ALAUMIWA KUFUATIA KUPANDA GHARAMA YA MAISHA NCHINI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wananchi kuhusu mapendekezo ya kuongezwa viwango vya ushuru na matozo mbali mbali kwa wakenya kama njia moja ya kufanikisha shughuli za serikali. Wakazi wa […]
Top News









