Author: Charles Adika
-
SERIKALI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA MAZINGIRA BORA KWA WATU WANAOISHI NA ULEMAVU NCHINI.
Waziri wa leba Bi. Florence Bore amesema kwamba watu wanaoishi na ulemavu nchini wameendelea kukumbwa na vizingiti ambavyo kwa miaka mingi vimewapelekea kukosa kuhusika kikamilifu katika maswala ya maendeleo na […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA ZOEZI LA KUWAPA MIFUGO DAWA YA MINYOO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo na mifugo kwa ushirikiano na shirika la PSF Germany imeendeleza shughuli ya kuwapa mifugo dawa ya minyoo katika juhudi za […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KOMBE LA MURKOMEN KUSITISHWA KWA KUKOSA KUAFIKIA MALENGO YA KULETA AMANI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi sasa wanataka mashindano ya kombe la Murkomen, kusitishwa mara moja kwa kile wamedai kwamba yamekosa kuafikia malengo ya kuhakikisha amani katika kaunti […]
-
KACHAPIN ASHINIKIZA SHULE ZILIZOFUNGWA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA KUFUNGULIWA JANUARI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa serikali kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba masomo yanarejelewa mwezi januari, katika shule ambazo zilifungwa maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu […]
Top News







