Author: Charles Adika
-
WALIMU POKOT MAGHARIBI WAPONGEZWA KWA MATOKEO BORA YA KCPE.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini KNUT tawi la Pokot magharibi Martine Sembelo amewashukuru walimu na wazazi kwa kushirikiana na kuhakikisha kwamba wanafunzi katika kaunti hiyo wanafanya vyema katika […]
-
ST. MARYS ASSUMPTION NA KAPENGURIA TOWN VIEW ZANG’ARA KATIKA MTIHANI WA KCPE POKOT MAGHARIBI.
Shule mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kusherehekea matokeo bora katika mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE ambayo yalitangazwa na waziri wa elimu Ezekiel Machogu ikizingatiwa ndio […]
-
POLISI WA UGANDA WASUTWA KWA KUHATARISHA USALAMA WA WAKAZI WA KANYERUS POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa Kijiji cha Nasitit eneo la Kanyerus eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kudorora kwa hali ya usalama eneo hilo la mpakani pa kaunti hiyo […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUANZISHA NA KUSAJILI BIASHARA ZAO ILI KUNUFAIKA NA KANDARASI KUTOKA KWA SERIKALI.
Kampuni ya kuzalisha umeme KenGen inaendeleza uhamasisho kwa makundi ya vijana, wanawake pamoja na ya walemavu kuhusu jinsi ya kupata kandarasi za serikali zinazotolewa kwa makundi hayo kwa lengo la […]
Top News









