News
-
ZAIDI YA WATAHINIWA MILIONI MOJA HAWAWEZI KUAFIKIA ASILIMIA 50 YA ALAMA STAHIKI KWENYE BAADHI YA MASOMO
Baraza la Mitihani nchini KNEC imesema kuwa zaidi ya watahiniwa milioni 1 wa KCPE mwaka huu hawawezi kuafikia asilimia 50 ya alama stahiki katika masomo mbali mbali.Baraza hilo liliandaa ripoti […]
-
OPARESHENI NAYOTEKELEZWA KAPEDO IMESHTUMIWA VIKALI NA MUUNGANO WA WACHUNGAJI POKOT MAGHARIBI
Muungano wa wachungaji katika kaunti ya Pokot Magharibi wamekashifu oparesheni inayoendelea katika eneo la Kapedo kwa zaidi ya wiki mbili sasa.Wakiongozwa na Ronald Chumum, wamesema kuwa hawana pingamizi na oparesheni […]
-
RAIS KENYATTA ASHAURIWA KUKAMILISHA MIRADI ALIYOAHIDI KATIKA KAUNTI YA BUSIA
Siku chache tu baada ya rais Uhuru Kenyatta kukutana na wabunge wa Mlima Kenya baadhi ya viongozi wa eneo la magharibi sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kuanzisha ama kukamilisha miradi […]
-
MWANAMME MMOJA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI AUAWA KWA KUDUNGWA KISU NA WATU WASIOJULIKANA
Maafisa wa polisi wanaendeleza msako wa washukiwa wa mauaji ya mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka hamsini na minane katika Lokesheni ya Chebor kwenye kaunti ya Pokot Magharibi.Kulingana na Kamanda […]
-
VIJANA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATISHIA KUISHTAKI SERIKALI KUU KWA MADAI YA KUENDESHA OPARESHENI KAPEDO BILA KUWAJALI WATU WASIO NA HATIA
Vijana katika Kaunti ya Pokot Magharibi wakiongozwa na mwanaharakati Dennis Kapchok maarufu Mulmulwas na mwakilishi maalum Ozil Kasheusheu wametishia kuishtaki serikali kuu kwa madai ya kuendesha oparesheni katika eneo la […]
-
OPARESHENI YAENDELEA KUTEKELEZWA KAPEDO HUKU WATU SABA WAKIKAMATWA NA SILAHA HARAMU KUTWALIWA
Mshirikishi wa serikali eneo la Bonde la Ufa George Natembeya amesema kuwa kufiki sasa watu 7 wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi katika oparesheni inayoendelezwa eneo la Kapedo mpakani pa […]
-
GAVANA LONYANG’APUO AWASHAURI VIJANA KUKUMBATIA VYAMA VYA USHIRIKA ILI KUPATA MIKOPO
Gavana wa kaunti hii ya Pokot Magharibi amewataka vijana kwenye kaunti hii kukumbatia vyama vya ushirika ili kuweza kupata mikopo kwa urahisi na kuanzisha biashara na kuacha mila ya kutegemea […]
-
WAHUDUMU WA MATATU MJINI KITALE WALALAMIKIA UKOSEFU WA VYOO KATIKA KITUO KIKUU CHA MABASI CHA KITALE
Uhaba wa vyuo vya kutosha na maji safi mjini Kitale umewasababishia wasafiri, wafanyibiashara na wahudumu wa magari ambao wanahudumu katika kituo kikuu cha mabasi cha kitale kuhangaika pakubwa wanapoendeleza shughuli […]
-
PANA HAJA YA SERIKALI KUFANYA OPARESHENI KAPEDO BILA MAPENDELEO
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Moroto ameitaka serikali ya kitaifa kushughulikia tatizo la ukosefu wa usalama katika eneo la Kapedo eneo bunge la Tiaty bila mapendeleo. […]
-
WADAU KATIKA SEKTA YA ELIMU WASHAURIWA KUWEKA MIKAKATI MAHUSUSI YA KUSITISHA MIGOMO YA WANAFUNZI
Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa ametoa wito kwa wadau katika sekta ya elimu kuweka mikakati mahususi ya kuzungumza na wanafunzi ili kutatua maswala yanayowathiri kuzuia misururu ya migomo inayoshuhudiwa katika […]
Top News