News
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Serikali imetakiwa kuweka mikakati ya kuhakikisha usalama unaafikiwa maeneo ya mpakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na kauntijirani ya Elgeyo marakwet ili kuruhusu kurejelewa shughuli za masomo maeneo hayo.Seneta […]
-
‘WEZI WA MAJI’ WAKAMATWA TRANS NZOIA.
Washukiwa kumi na sita akiwemo mshukiwa mkuu anayeunganisha maji kinyume cha sheria katika kaunti ya transnzoia wamekamatwa ikisemekana kwamba ni mafundi wa kibinafsi wanaolaumiwa kutokana na ongezeko la visa vya […]
-
KONTENA ZA BIASHARA MAKUTANO ZAELEKEA KUKAMILIKA.
Matayarisho ya kontena za kufanyia biashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi yanaelekea kukamilika .Haya ni kwa mujibu wa afisa katika wizara ya biashara kaunti hii Lucy Lipale […]
-
UKEKETAJI NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA KIZUNGUMKUTI POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi za kukabili visa vya ukeketaji na ndoa za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi imebainika visa hivi vingali kero miongoni mwa jamii.Hii ni baada msichana mmoja […]
-
SEKTA YA BODABODA YAPUNGUZIWA USHURU POKOT MAGHARIBI.
Wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kuwapunguzia ushuru wanaolipa kutoka shilingi 300 hadi shilingi 200.Akitoa tangazo hilo gavana John […]
-
WAKUU WA SHULE TRANS NZOIA WASHUTUMIWA KWA KUPANDISHA VIWANGO VYA KARO.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans-Nzoia wamelalamikia hatua ya walimu wakuu kwenye shule mbalimbali Kaunti hiyo kuitisha karo ya juu na mallipo mengine ya ziada kwa wazazi wanapowapeleka wanao kujiunga na […]
-
WAZAZI MAENEO YA MIPAKANI WATAKIWA KUWAPELEKA WANAO SHULENI.
Wazazi hasa maeneo ya mipakani katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanaripoti shuleni wakati huu ambapo shule zimefunguliwa kwa muhula wa kwanza.Kulingana na mwalimu mkuu wa […]
-
UHABA WA MIUNDO MSINGI WAHUJUMU USAJILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA.
Swala la uhaba wa miundo mbinu limejitokeza pakubwa katika shughuli ya usajili wa wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza katika baadhi ya shule za kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na […]
-
KENGEN YASHUTUMIWA KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI TURKWEL.
Kampuni ya kuzalisha umeme ya KENGEN imeshutumiwa vikali kwa jinsi inavyoendesha shughuli zake eneo la Turkwel katika kaunti hii ya Pokot magharibi huku ikidaiwa kuwahangaisha wakazi wa eneo hilo.Wakizungumza katika […]
-
WAFANYIBIASHARA WATISHIA KUANDAMANA KUTETEA BIASHARA ZAO MAKUTANO.
Wafanyibiashara mjini Makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametishia kuandamana hadi afisi ya mkurugenzi wa elimu kaunti hii kulalamikia hatua ya uongozi wa baadhi ya shule katika kaunti hii […]
Top News










