News
-
WADAU WAPONGEZA HATUA YA KUDHINISHWA MJI WA KIMILILI KUWA MANISPAA.
Meneja wa manispaa ya mji wa Kimilili katika kaunti ya Bungoma John Ndombi amepongeza hatua ya mji huo kuidhinishwa katika gazeti rasmi la serikali kuwa manispaa.Akizungumza afisini mwake Ndombi amesema […]
-
KHAEMBA ALAUMIWA KWA UTENDAKAZI DUNI TRANS NZOIA.
Viongozi kutoka kaunti ya Trans-nzoia wamelalamikia utenda kazi duni wa serikali ya kaunti hiyo kwa kile wamesema imekosa kuwajibikia wenyeji.Wakiongozwa na mbunge wa endebess Dkt Robert Pukose viongozi hao wametaka […]
-
WAKAAZI WA TUWANI TRANS NZOIA WAPOKEA MWANGAZA BAADA YA KUKAA GIZANI KWA MDA
Wakaazi wa mtaa wa mabanda wa Tuwani kwenye kaunti ya Trans Nzoia sasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya serikali kuekeza katika taa za usalama za usiku, baada ya […]
-
WAKENYA WASHAURIWA KUENDELEA KUPOKEA CHANJO YA COVID 19
Wito umetolewa kwa wakenya kuhakikishwa wanachanjwa dhidi ya virusi vya corona ambavyo vinaendelea kutikisa taifa hiliNi wito ambao umetolewa na mbunge wa Soy katika kaunti ya Uasin Gishu Caleb Kositany, […]
-
SERIKALI KUWAKABILI WALIMU WANAOFANIKISHA UDANGANYIFU KWENYE MITIHANI YA KITAIFA
Naibu Kamishna wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Kennedy Lunalo amegadhabishwa na kauli za wanafunzi wa shule za upili katika kaunti hii kwamba walimu wao hawajakuwa wakiwasaidia kuiba mtihani ili […]
-
WAKULIMA WA NYASI WANUFAIKA NA UFADHILI KUTOKA SHIRIKA LA NRT.
Shirika la NRT limetoa kilo 600 za mbegu ya nyasi kwa wakulima ambazo zinanuiwa kupandwa katika ekari 60 eneo la Masol kaunti ya Pokot magharibi.Akizungumza baada ya kukutana na wakulima […]
-
WADAU WATAKIWA KUINGILIA KATI CHANGAMOTO ZINAZOKUMBA SHULE YA UPILI YA KIWAWA.
Wadau katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuingilia kati na kuisaidia shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa iliyo katika eneo bunge la Kacheliba kufuatia changamoto nyingi zinazoikumba shule […]
-
UDA CHAENDELEA KUJIUZA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wanachama wa chama cha UDA ambacho kinahusishwa na naibu rais William Ruto wamendelea kukipigia debe chama hicho kwa lengo la kukiuza mashinani.Julius […]
-
MBINU ZA UPANGAJI UZAZI ZAKUMBATIWA POKOT MAGHARIBI.
Idadi kubwa ya kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wamekumbatia mbinu za kisasa za upangaji uzazi.Haya ni kulingana na utafiti ulioendeshwa na shirika la Performance Mornitoring Action PMA ambao […]
-
UONGOZI WA SHULE YA KAPKECHO WASHUTUMIWA KWA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA.
Wazazi wa shule ya upili ya Kapkecho eneo la Siyoi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu uongozi wa shule hiyo kwa kile wamedai usimamizi mbaya huku wakitaka mwalimu mkuu wa […]
Top News