News
-
WITO WA AMANI WATOLEWA BAINA YA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuandaa mazungumzo ya kumaliza visa vya uvamizi ambao umegharimu maisha ya wakazi wengi.Ni wito […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi zimesalia changamoto katika shule za kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya St Anthony of Pador Sina Simon […]
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI AKASHIFIWA KWA KULEMAZA MIRADI YA MAENDELEO ENEO HILO.
Aliyekuwa kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti hii ya pokot magharibi kwenye serikali iliyotangulia Simon Kalekem amemshutumu mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kile amedai utepetevu katika utendakazi […]
-
UTEUZI WA NAIBU CHIFU MPYA YUALATEKE WAPINGWA NA WAKAZI.
Wakazi wa yualateke eneo la kipkomo kaunti hii ya pokot magharibi wameandamana wakilalamikia kuteuliwa naibu chifu eneo hilo wakidai si mkazi wa eneo hilo.Wakiongozwa na Wilson Amanang’ole wakazi hao wamedai […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUSHUGHULIKIA NIDHAMU YA WANAO.
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya upili ya chewoyet katika kaunti hii ya pokot magharibi Ruth Kisabit ameshutumu maandamano yaliyoandaliwa na baadhi ya wakazi wa mjini makutano kukashifu uongozi wa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KUFUATIA UHABA WA MAJI MJINI MAKUTANO.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa viongozi wa kaunti hii ya pokot magharibi kufuatia uhaba wa maji unaoshuhudiwa mjini makutano baada ya kampuni ya Kenya power kukata umeme katika eneo […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU KUTUMWA NYUMBANI WANAFUNZI KILA MARA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameelezea ghadhabu zao kufuatia hatua ya kutumwa nyumbani baadhi ya wanafunzi katika shule ya upili ya Chewoyet hasa nyakati za jioni […]
-
JAMII YATAKIWA KUZINGATIA MTOTO WA KIKE KATIKA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Mtoto wa kike kaunti hii ya Pokot magharibi anastahili kupewa kipau mbele na jamii hasa katika maswala ya elimu.Haya ni kwa kujibu wa afisa katika shirika la Yang’at Elizabeth Kukat […]
-
MTU MMOJA AULIWA KATIKA UVAMIZI CHESOGON.
Taharuki imetanda eneo la Lebei Chesogon mpakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na Elgeyo marakwet baada ya mtu mmoja kuuliwa na mwingine kujeruhiwa vibaya usiku wa kuamkia leo baada […]
-
WAAJIRI WATAKIWA KUWATENGEA KINA MAMA WANAONYONYESHA NAFASI YA KUWANYONYOSHA WANAO.
Takwimu zinaonyesha kwamba 2/3 ya akina Mama wanaonyonyesha wanao wameajiriwa na serikali na katika sekta mbalimbali ya kibinafsi nchini, hivyo ipo haja ya hamasisho kwa waajiri na jamii kuwatengea akina […]
Top News