Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KUONGEZWA MUDA WA MAZUNGUMZO YA AMANI BARINGO
Oparesheni ya kiusalama ikitarajiwa kurejelewa leo katika kaunti ya baringo, seneta wa kaunti hii Samwel Poghisio ameitaka serikali kuwapa muda zaidi viongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na Baringo […]
-
-
-
-
WAKULIMA WA NYANYA KAUNTI YA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA
Wito umetolewa kwa wakulima wa nyanya kaunti ya Trans-nzoia kujiunga katika ushirika ili kuzungumza kwa sauti moja na kupigania bei bora kwa wakulima wanaokuza zazo hilo katika kaunti hiyo. Akihutubu […]
-
MIKUTANO YA AMANI YAENDELEZWA KAUNTI YA BARINGO LICHA YA UGUMU WA KUWAPATA WAKAZI
Viongozi kutoka kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa wanaendeleza misururu ya mikutano katika kaunti ya Baringo katika juhudi za kuhakikisha usalama unaimarishwa kwenye kaunti hiyo.Hii ni baada ya serikali […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUTELEKEZA HOSPITALI YA KAPENGURIA
Idara za uchunguzi ikiwemo tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC na idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai DCI zimetakiwa kuingilia katika kuchunguza matumizi ya fedha ambazo zinatengewa idara […]
-
-
VIONGOZI WA SIASA WALAUMIWA KWA KUKITHIRI VIWANGO VYA CORONA NCHINI
Viongozi wa siasa ndio wa kulaumiwa kwa ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona nchini. Haya ni kwa mujibu wa viongozi wa kidini nchini ambao wamesema ni kinaya kwa serikali […]
-
WAZEE TRANS NZOIA WATAKA CHANJO YA CORONA KUTOLEWA MAENEO YA MASHINANI
Wazee katika kaunti ya Trans nzoia wametoa wito kwa wizara ya afya kuhakikisha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inatolewa katika maeneo ya mashinani ili kuepuka umma ambapo huenda […]
Top News






