Author: Charles Adika
-
HATUA YA SERIKALI KUFUNGA MAENEO YA IBADA KATIKA KAUNTI 13 YAENDELEA KUKASHIFIWA VIKALI
Hatua ya serikali kufunga kaunti 13 za eneo la Magharibi, Nyanza na Bonde la ufa kutokana na idadi ya maambukizi ya virusi vya corona imeendelea kukashifiwa vikali.Viongozi wa kidini kaunti […]
-
WANAFUNZI WALIOACHIA DARASA LA NANE KUENDELEA NA MASOMO YAO KATIKA CHUO CHA KIUFUNDI CHA KITALAKAPEL
Chuo cha kiufundi cha Kitalakapel katika kaunti hii ya Pokot Magharibi kimeanzisha kozi kwa ajili ya wanafunzi ambao waliachia masomo yao katika darasa la nane.Akizungumza siku moja tu baada ya […]
-
-
-
-
-
IDARA ZA USAJILI KACHELIBA ZASHUTUMIWA KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI.
Mkazi mmoja kutoka Eneo la Kacheliba kaunti hii ya pokot magharibi anatoa wito wa kuingiliwa kati idara husika kwa kile amedai kuhangaishwa na ofisi za chifu na ya usajili vyeti […]
-
CHIFU WA SONGOK ADAI KUWINDWA NA SHIRIKA LA NRT.
Mzozo kati ya wakazi wa kaunti ya Pokot Magharibi na shirika na NRT[Northern Rangelands Trust ] umechukua mkondo mpya huku chifu mmoja wa eneo hilo akidai kuwa maisha yake yamo […]
-
KIPTIS APONGEZWA KWA KUFANYIA MAGEUZI WIZARA MBALI MBALI KAUNTI YA BARINGO.
Gavana kaunti ya Baringo Stanley Kiptis anaendelea kupongezwa kutokana na mageuzi aliyofanya katika wizara mbali mbali ambapo maafisa wakuu wa wizara hizo walipewa uhamisho.Kwenye kikao na wanahabari mjini Kabarnet mwakilishi […]
-
WANGAMATI AFIKA MBELE YA SENETI BAADA YA KUSUSIA MIALIKO KADHAA.
Baada ya gavana wa kaunti ya Bungoma Wycliffe Wangamati kukosa kufika mara ya mwisho alipoalikwa na seneti, sasa gavana huyo amefika mbele ya kamati ya seneti kuhusu afya ili kujibu […]
Top News