Author: Charles Adika
-
-
-
-
-
KUPPET YALALAMIKIA UPUNGUFU WA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Tume ya huduma za walimu TSC imetakiwa kuangazia kwa ukamilifu swala la uhaba wa walimu katika shule za kaunti hii ya Pokot magharibi wakati ambapo serikali inatekeleza sera ya kuhakikisha […]
-
WAKULIMA SIYOI WAFUNZWA UMUHIMU WA KILIMO HAI.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na mafunzo kutoka mashirika mbali mbali kuhusu mbinu za kilimo katika juhudi za kuhakikisha wanazingatia kilimo bora na kukabili baa la […]
-
MWANAFUNZI AOKOLEWA KUTOKA NDOA YA MAPEMA MTELO POKOT YA KATI.
Chifu wa eneo la seker kwa ushirikiano na naibu chifu wa mbara na chepkondol katika kaunti ndogo ya pokot ya kati kaunti hii ya pokot magharibi wamemwokoa mwanafunzi mmoja wa […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUKUMBATIA UAMUZI WA MAHAKAMA KUHUSU BBI.
Mahakama ya rufaa ikitarajiwa leo kutoa uamuzi kuhusu mchakato wa kufanyia katiba marekebisho kupitia mpango wa BBI miito imeendelea kutolewa kwa viongozi wa kisiasa kukubali matokeo ya kesi hiyo.Wakiongozwa na […]
-
Top News








