Author: Charles Adika
-
-
-
UJENZI WA MADARASA KATIKA SHULE YA SIKULU TRANS NZOIA WAKAMILIKA.
Ni afueni kwa wanafunzi wa Shule ya msingi na upili ya Sikulu eneo bunge la Saboti Kaunti ya Trans-Nzoia baada ya kukamilika ujenzi wa madarasa 9 kwenye shule hizo kwa […]
-
WAKAZI WA OROLWO, POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA UHABA WA MAJI.
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia wizara ya maji na mazingira kuhakikisha wakazi wa orolwo wanapata maji safi kupitia uchimbaji wa visima vya maji eneo […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUZINGATIA UMOJA BAADA YA BBI.
Baada ya mahakama ya rufaa kusitisha mchakato mzima wa BBI Viongozi nchini wametakiwa kuzingatia umoja wa kitaifa huku uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ukikaribia.Rais wa bunge la vijana nchini ambaye […]
-
‘KUTUPILIWA MBALI BBI KUNAFAA KUWA FUNZO KWA VIONGOZI WA POKOT MAGHARIBI.’ MOROTO.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa viongozi kufuatia hatua ya mahakama ya rufaa kudumisha uamuzi wa mahakama kuu wa kutupilia mbali mchakato wa kufanyia katiba marekebisho kupitia mpango wa BBI.Mbunge […]
-
-
-
-
Top News








