Author: Charles Adika
-
-
-
-
MBITO ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KUHUSU MATAMSHI YAKE DHIDI YA MFANYIBISHARA TRANS NZOIA.
Seneta wa kaunti ya Trans nzoia Michael Mbito ametakiwa kuomba msamaha kwa kumwita mfanyibiashara Nathaniel Tum mnyakuzi mkuu katika mzozo wa umiliki wa kipande cha ardhi cha ekari 10 baina […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUKUMBATIA MBUZI WA KISASA AINA YA GALA GOATS.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mbuzi wa kisasa aina gala goats ili kuimarisha mazao yao.Akizungumza eneo la Nasukuta wakati wa kupeanwa mbuzi hao kwa makundi 27 […]
-
JUHUDI ZA KUOKOA MAPENDEKEZO YA BBI HUENDA ZIKAELEKEZWA BUNGENI.
Juhudi za kuhakikisha baadhi ya mapendekezo muhimu ambayo yalikuwa yakishinikizwa kupitia mpango wa upatanishi BBI uliotupiliwa mbali na mahakama kuu na kisha ile ya rufaa sasa zitaelekezwa katika bunge la […]
-
HOJA YA KUMBANDUA SPIKA YAWASILISHWA KATIKA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI.
Hatima ya spika wa bunge la kaunti hii ya pokot magharibi Catherine Mukenyang sasa imo mikononi mwa wabunge katika bunge hilo baada ya kuwasilishwa hoja ya kumbandua afisini.Akiwasilisha hoja hiyo […]
-
-
Top News







