Author: Charles Adika
-
VIONGOZI ZAIDI WAPINGA UWEZEKANO WA KUAHIRISHA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia shinikizo kutoka kwa baadhi wa viongozi kutaka uchaguzi mkuu wa mwaka ujao wa 2022 kuahirishwa ili kutoa fursa ya kufanyia katiba marekebisho kupitia mpango […]
-
-
-
-
-
-
-
RAIS ATAKIWA KUONDOA KAFYU SHULE ZINAPOFUNGULIWA RASMI.
Wazazi katika kaunti ya Trans nzoia wamewaomba walimu wakuu kuzingatia agizo la waziri wa elimu prof. George Magoha la kutowatuma nyumbani wanafunzi kufuatia ukosefu wa karo.Wazazi hao wamesema kuwa wamepitia […]
-
KUKAMATWA MAJAJI WAWILI KWAZIDI KUKASHIFIWA.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wananchi kufuatia hatua ya maafisa wa DCI kuwatia mbaroni majaji wawili Aggrey Mchelule na Said Chitembwe juma jana na kuwahoji kabla ya kuwaachilia muda […]
-
POGHISIO ATETEA HATUA YA KANU KUTOJIONDOA JUBILEE ILI KUBUNI OKA
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametetea hatua ya chama cha KANU kusalia katika chama cha Jubilee licha ya kubuni muungano wa One Kenya Alliance na vyama […]
Top News