Author: Charles Adika
-
-
-
WABUNGE WATAKIWA KUTENGA FEDHA ZA KUFADHILI WANAFUNZI KUTOKA JAMII MASIKINI.
Mwakilishi wadi wa Keiyo ambaye pia ni kinara wa wachache katika bunge la kaunti ya Trans-nzoia Emmanuel Waswa ametaka wabunge wa kitaifa kutenga fedha zaidi katika fedgha za ustawishaji maeneo […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUPANDA GHARAMA YA MAISHA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali ngumu ya maisha ambayo wanakabiliana nayo.Wakazizungumza mjini Makutano kaunti hii ya Pokot magharibi wakazi hao wamesema kuwa kwa sasa wanakabiliwa na […]
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA WANAFUNZI WAKAIDI KAUNTI NDOGO YA KAPENGURIA.
Kamanda wa polisi kaunti ndogo ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Julius Kyumbule, amelalamikia ongezeko la migomo shuleni katika siku za hivi karibuni.Kyumbule amesema kuwa katika siku za hivi […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUKITHIRI UFISADI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameendelea kushutumiwa kufuatia madai ya matumizi mabaya ya fedha za umma katika serikali yake.Akizungumza na kituo hiki mwakilishi wadi maalum wa […]
-
-
-
-
WAFANYIKAZI WA UMMA WASHINIKIZA KUPEWA NYONGEZA YA MSHAHARA LICHA YA SRC KUSEMA HAITAWAONGEZA KWA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI
Tume ya kutathmini mishahara ya wafanyakazi SRC inaendelea kushutumiwa kutokana na msimamo wake kwamba wafanyakazi wa umma hawataongezewa mishahara katika kipindi cha miaka miwili.Akiongea mjini Kakamega mwenyekiti wa chama cha […]
Top News