Author: Charles Adika
-
-
UTOVU WA USALAMA WAAATHIRI KUFUNGULIWA SHULE CHESOGON
Shughuli za masomo zinaporejelewa kote nchini kwa muhula wa kwanza, taharuki ingali imetanda katika eneo la Chesegon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Elgeyo Marakwet kufuatia hofu ya […]
-
HOFU YA UPUNGUFU WA CHAKULA YATANDA TRANS NZOIA.
Viongozi Kaunti ya Trans Nzoia wameelezea hofu ya kupungua kwa uzalishaji wa zao la mahindi mwaka huu kwa zaidi ya asilimia hamsini.Wakiongozwa na Naibu Gavana Kaunti ya Trans Nzoia Dkt […]
-
VISA VYA UVAMIZI VYARIPOTIWA KUPUNGUA MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Chifu wa eneo la songok, ombolion eneo bunge la pokot kaskazini kaunti hii ya pokot magharibi Joseph Korkimul amepongeza juhudi za amani ambazo zinaendelezwa eneo hilo la mpakani baina ya […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUTOKUWA NA HOFU WANAO WANAPOREJEA SHULENI.
Wanafunzi wakiendelea kuripoti shuleni baada ya kufunguliwa shule kwa muhula wa kwanza baadhi ya shule kaunti hii ya pokot magharibi zimetangaza kuweka mikakati kabambe kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona […]
-
-
-
-
IDARA YA USALAMA YASUTWA KWA KUITELEKEZA POKOT MAGHARIBI KATIKA MASWALA YA USALAMA.
Idara ya usalama nchini imeshutumiwa vikali kwa kutozingatia usawa katika kuhakikisha amani inadumishwa mipakani mwa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet.Mwakilishi wa kike katika kaunti […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUZINGATIA UWAZI KATIKA MAJUKUMU YAO POKOT MAGHARIBI.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kutekeleza majukumu yao waliyopewa na wananchi kikamilifu kwa kuzingatia uwazi katika shughuli zote wanazotekeleza.Ni wito wake spika wa bunge la […]
Top News