Author: Charles Adika
-
HISIA ZA IBULIWA KUHUSIANA NA CHAMA KIPYA POKOT
Uanzilishi wa Chama cha Kenya Union Party KUP katika Kaunti hii ya Pokot Magharibi umeibua hisia mbalimbali miongoni mwa wakazi wa kaunti hii.Kulingana na Mzee Gabriel Lonyiko mkazi wa Kacheliba, […]
-
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU KAKAMEGA AUWAWA.
Maafisa wa Polisi Wameanzisha Uchunguzi kuhusiana Mauaji ya Mwanafunzi wa mwaka wa Nne anayesomea taaluma ya uhandisi katika Chuo kikuu cha Masinde Muliro kaunti ya kakamega.Wakaazi wakiongozwa na Cornelius Chemwali […]
-
-
-
-
CHAMA CHA KUP CHA CHA POKOT MAGHARIBI CHA CHAPISHWA KWENYE GAZETI RASIMI
Chama Kipya Cha Kenya Union Party KUP ambacho kimeasisiwa na gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi Profesa John Lonyangapuo kimechapishwa rasmi katika Gazeti la Kitaifa.Akizungumza na kituo hiki, Naibu Mwenyekiti […]
-
VIJANA KAUNTI YA POKOT WAHIMIZWA KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA
Naibu wa Spika katika Bunge la Kaunti ya Pokot Magharibi Francis Krop ametoa wito kwa wakazi wa kaunti hii kujitokeza kwa wingi katika usajili wa wapiga kura ambao umefikia siku […]
-
VIONGOZI KAKAMEGA WAKASHIFU HOSPITALI YA BUTERE KWA UTEPETEVU
Viongozi wa kisiasa wakiwemo wawakilishi wadi kutoka eneobunge la Butere kauti ya KaKamega walitembelea hospitali ya Butere level 4 na kulaani kitendo ambacho mgonjwa alifariki na kusalia kwenye wadi kwa […]
-
-
Top News







