Author: Charles Adika
-
CHANJO YA KUZUIA KICHAA CHA MBWA YAZINDULIWA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi walio na mbwa pamoja na paka wametakiwa kuwaleta ili wapokee chanjo dhidi ya ugoinjwa wa kichaa cha mbwa.Akizungumza baada ya kuzindua zoezi hilo […]
-
MIKAKATI YAWEKWA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII TRANS NZOIA.
Waziri wa Michezo,vijana, utalii na Utamaduni Kaunti ya Trans Nzoia Aggery Chemonges amekariri kuwa wizara yake itashirikisha washikadau wote kutoka maeneo yenye vivutio vya kitalii kama njia moja ya kukuza […]
-
-
-
-
-
SIASA ZA MAZISHINI ZAPIGWA MARUFUKU POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Prof John Longanyangápuo amepiga marufuku siasa katika hafla za mazishi katika Kaunti hii akitaka wanasiasa kuheshimu familia za waliofiwa.Akihutubu kwenye hafla ya mazishi ya […]
-
WAGOMBEA VITI VYA KISIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJITOKEZA WAZIWAZI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamewataka viongozi wote ambao wanaazimia kuwania kiti cha useneta kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao kujitokeza na kutangaza wazi azma yao […]
-
MIMBA NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO SIGOR.
Swala la mimba pamoja na ndoa za mapema miongoni mwa wanafunzi limeendelea kuwa changamoto kwa elimu ya mtoto wa kike katika shule za eneo la sigor Pokot ya kati katika […]
-
SENETI YALAUMIWA KWA MAPUUZA YA KETER NA MUNYES.
Mbunge wa Endebes kaunti ya Trans nzoia Robert Pukose amelaumu bunge la seneti kutokana na hatua ya mawaziri chales Keter wa kawi na mwenzake wa petroli na uchimbaji madini John […]
Top News









