Author: Charles Adika
-
‘REKODI YA MAENDELEO YA WAGOMBEA NDIYO ITAKAYOAMUA HATIMA YAO’, WASEMA WAKAZI LOMUT.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini na kuwapiga msasa viongozi wote wa kisiasa ambao wametangaza nia ya kugombea nyadhifa za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwezi […]
-
WAPIGA KURA WATAKIWA KUJIFUNZA KWA MAKOSA YA UCHAGUZI MKUU ULIOPITA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kuwa makini katika uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi agosti na kufanya uamuzi wa busara.Akizungumza na kituo hiki naibu gavana Nicholas Atudonyang […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YASHUTUMIWA KWA KUKITHIRI UFISADI.
Aliyekuwa mratibu wa utawala eneo la bonde la ufa George Natembeya ambaye ametangaza nia ya kuwania kiti cha ugavana katika kaunti ya Trans nzoia ameahidi kuimarisha maenedeleo katika kaunti hiyo […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUHUBIRI AMANI KATIKA MIKUTANO YA SIASA.
Viongozi wa kidini katika kaunti ya Trns nzoia wametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kuwa msitari wa mbele katika kuhubiri amani hasa wakati huu ambapo siasa za uchaguzi mkuu wa […]
Top News








