Author: Charles Adika
-
MAJIBIZANO YAENDELEA KUSHUHUDIWA KATI YA GAVANA NA SENETA WA POKOT MAGHARIBI.
Seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo kutokana na kauli yake kuwa ndiye aliyemsaidia kuinuka kisiasa hata kufikia viwango vya sasa.Akizungumza […]
-
UDA YAANZA MIKAKATI YA KUTEKELEZA MFUMO WA UCHUMI WA BOTTOM UP POKOT MAGHARIBI.
Viongozi wa chama cha UDA kinachoongozwa na naibu rais William Ruto katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameanza mikakati ya kuangazia mikakati ya jinsi ya kutekeleza matakwa ya wananchi iwapo […]
-
JENGO LA MAHAKAMA YA KAPENGURIA LAZINDULIWA LEO.
Kuzinduliwa kwa jengo la mahakama ya kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi katika shughuli inayotarajiwa kuongozwa leo na jaji mkuu Martha Komme, kutatoa fursa bora ya kushughulikiwa kesi mbali […]
-
CHUO CHA KITALAKAPEL CHALALAMIKIA UHABA WA MAJI.
Uongozi wa chuo cha kitalakapel katika kaunti hii ya Pokot magharibi umelalamikia ukosefu wa maji katika shule hiyo na eneo la Kitalakapel kwa ujumla.Mwalimu mkuu chuo hicho john Kibowen amesema […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU KAULI INAYOHUSISHA JAMII YA POKOT NA SHAMBULIZI LA BASI LA SHULE YA TOT.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu hatua ya kuhusishwa jamii ya Pokot na shambulizi la basi la shule ya upili ya Tot kaunti ya Elgeyo Marakwet ambapo […]
-
KINYANG’ANYIRO CHA UBUNGE KAPENGURIA CHAENDELEA KUVUTIA WAGOMBEA ZAIDI.
Chini ya miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti, wanasiasa mbali mbali wameendelea kujitokeza kutangaza nia ya kugombea viti vya uongozi katika uchaguzi huo.Wa hivi punde kutangaza nia […]
Top News









