Author: Charles Adika
-
KVDA YALENGA KUIMARISHA UZALISHAJI WA ASALI KERIO VALLEY.
Mamlaka ya ustawishaji wa maendeleo kwenye bonde la kerio KVDA inashirikiana na idara ya mifugo katika wizara ya kilimo kuimarisha uzalishaji wa asali humu nchini.Kwa mujibu wa meneja mkurugenzi wa […]
-
KENYA SEED YAHAKIKISHIA WATEJA WAKE MBEGU ZA KUTOSHA MSIMU WA UPANZI.
Huku msimu wa upanzi ukitazamiwa kuanza maeneo mbalimbali humu nchini Kampuni ya uzalishaji mbegu nchini Kenya Seed imewahakikishia wakulima kuwa kuna mbegu za kutosha kwa mahitaji ya wakulima humu nchini […]
-
‘CHAMA CHA KANU KINGALI IMARA POKOT MAGHARIBI’ ASEMA POGHISIO.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amesema kuwa chama cha KANU katika kaunti hii sasa kitaimarika zaidi baada ya kuondoka baadhi ya wanachama anaodai kuwa walikuwa wakivuruga […]
-
MUUNGANO WA WANAFUNZI WATAKA SERIKALI KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Muungano wa wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka kaunti hii ya Pokot magharibi, wameitaka serikali kuweka mikakati ya kutosha itakayopelekea kukabiliwa hali ya utovu wa usalama katika eneo zima la bonde […]
-
KNUT CHATISHIA KUSITISHA SHUGHULI ZA ELIMU BONDE LA KERIO.
Viongozi wa chama cha kitaifa cha walimu KNUT na chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kwenye eno la kaskazini mwa bonde la ufa , […]
Top News








