Author: Charles Adika
-
RAIS UHURU KENYATA AKASHIFIWA KWA KUINGILIA MAKANISA
Baadhi ya viongozi kutoka trans nzoia wamekashifu hatua ya raisi kuingilia inavyoendeshwa shughuli za kidini wakidai ni kinyume cha sheria.Wakirejelea matamshi ya hivi majuzi ya raisi,viongozi hao wakiongozwa na mbunge […]
-
MWANIAJI WA UBUNGE KAUNTI YA TRANSNZOIA AKIVUNJA KIMYA CHAKE
Mwaniaji wa ubunge kwenye eneo la kiminini kaunti ya Transnzoia Kakai Bisau ambaye alikuwa mshauri wa Teknolojia na miundo msingi katika ofisi ya Naibu wa rais wiliam ruto amekivunja kimya […]
-
RAMANI YA MAHAKAMA KUU YA KAPENGURIA YATAJWA KUWA BORA.
Msajili mkuu wa mahakama humu nchini, hakimu Ann Amadi, ameisifia ramani ya ujenzi wa mahakama kuu ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi kwa kuwa na vitengo tofauti ambavyo vitashughulikia […]
-
MAANDALIZI YA MITIHANI YA KITAIFA YAKAMILIKA POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wasimamizi wa vituo mbali mbali vya mitihani katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuwa makini na kutoruhusu hali yoyote isiyo ya kawaida ikiwemo udanganyifu kushuhudiwa wakati wa […]
Top News









