Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WA KAHAWA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA KILIMO BIASHARA.
Wakulima wa kahawa Kaunti hii ya pokot magharibi waliweza kuzalisha takriban kilo 170,000 kutoka kwa wakulima mwaka uliopita, ambazo tayari zimewasilishwa kwenye mnada wa kahawa na wamepokea malipo.Haya ni kwa […]
-
MWANAKANDARASI ANAYEJENGA DARAJA LA TILAK ATAKIWA KUHARAKISHA UJENZI WA DARAJA HILO.
Mwanakandarasi anayetekeleza ujenzi wa daraja katika barabara ya Tilak kuelekea makutano kwenye eneo bunge la Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi ametakiwa kuharakisha ujenzi wa daraja hilo ili kurahisisha shughuli […]
-
NCIC YATAKIWA KUFUATILIA KWA MAKINI KAULI ZA WANASIASA MSIMU HUU WA KAMPENI ZA UCHAGUZI.
Tume ya uwiano na utangamano NCIC imetakiwa kufuatilia mienmendo ya viongozi wa kisiasa nchini na kuwachukulia hatua kali wanasiasa ambao wanawachochea wananchi wakati huu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa […]
Top News








