Author: Charles Adika
-
JENGO LA MAHAKAMA YA KAPENGURIA LAZINDULIWA LEO.
Kuzinduliwa kwa jengo la mahakama ya kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi katika shughuli inayotarajiwa kuongozwa leo na jaji mkuu Martha Komme, kutatoa fursa bora ya kushughulikiwa kesi mbali […]
-
CHUO CHA KITALAKAPEL CHALALAMIKIA UHABA WA MAJI.
Uongozi wa chuo cha kitalakapel katika kaunti hii ya Pokot magharibi umelalamikia ukosefu wa maji katika shule hiyo na eneo la Kitalakapel kwa ujumla.Mwalimu mkuu chuo hicho john Kibowen amesema […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAKASHIFU KAULI INAYOHUSISHA JAMII YA POKOT NA SHAMBULIZI LA BASI LA SHULE YA TOT.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu hatua ya kuhusishwa jamii ya Pokot na shambulizi la basi la shule ya upili ya Tot kaunti ya Elgeyo Marakwet ambapo […]
-
KINYANG’ANYIRO CHA UBUNGE KAPENGURIA CHAENDELEA KUVUTIA WAGOMBEA ZAIDI.
Chini ya miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti, wanasiasa mbali mbali wameendelea kujitokeza kutangaza nia ya kugombea viti vya uongozi katika uchaguzi huo.Wa hivi punde kutangaza nia […]
-
UONGOZI WA SHULE YA UPILI YA HOLY ROSARY WALALAMIKIA KUKITHIRI VISA VYA AJALI ZA BARABARANI ENEO HILO.
Wito umetolewa kwa idara inayohusika na maswala ya barabara kujenga matuta kwenye barabara karibu na shule ya upili ya wasichana ya holy Rosari kaunti hii ya Pokot magharibi.Ni wito ambao […]
Top News








