Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOTUMIA FEDHA ZA BASARI KABLA YA WATAHINIWA WA KCPE MWAKA 2021 KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Wito umetolewa kwa viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi kutopeana pesa za busary ila waziweke hadi wanafunzi watakapojiunga na kidato cha kwanza.Akipongeza matokeo bora ambayo yamerekodiwa miongoni mwa shule […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUTOHADAIWA NA MFUMO WA BOTTOM UP.
Kamishina wa kaunti hii ya Pokot magharibi Apolo Okelo amepuuzilia mbali mfumo wa kiuchumi wa naibu rais Willia Ruto wa Bottom up economic model.Apolo amewataka wananchi kutohadaiwa na baadhi ya […]
-
JOHN MENGWA AJIONDOA KWENYE KINYANG’ANYIRO CHA UBUNGE SABOTI TRANS NZOIA.
Mgombea kiti cha eneo bunge la Saboti kwa tiketi ya chama cha UDA John Meng’wa amejiondoa kwenye kinyanganyiro hicho.Akihutubu kwenye hafla iliyo waleta pamoja viongozi wa jamii na wazee ya […]
Top News







