Author: Charles Adika
-
KIWANDA CHA KUCHINJA NGOMBE CHA NASUKUTA CHA ZINDULIWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Uzinduzi wa kichinjio cha Nasukuta katika kaunti hii ya Pokot magharibi ni moja ya ajenda kuu za serikali ya jubilee ikiwa ni pamoja na utoshelezaji wa chakula hasa katika sekta […]
-
WENYEJI WA KAUNTI YA TRANSNZOIA WATOA HISIA ZAO KUFUATIA UAMUZI WA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI BBI
Muda mfupi tu baada ya mahakama ya upeo kutoa uamuzi wake kuhusiana na kesi ya mswada wa marekebisho ya katiba kupitia kwa mchakato wa BBI viongozi mbali mbali Kaunti ya […]
-
MOROTO APATA AFUENI BAADA YA KUTUPILIWA MBALI KESI INAYOHUSU SHAMBA LA ADC.
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amepata afueni baada ya kukamilika kesi iliyokuwa ikimwandama katika mahakama ya Kitale iliyokuwa ikihusu shamba la ustawishaji wa kilimo ADC.Akizungumza […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KUANGAZIWA MATUMZI YA FEDHA ZA BASARI.
Wazazi wa wanafunzi waliofanya mtihani wa kitaifa wa KCPE kaunti ya pokot magharibi sasa wanaiomba serikali kuu na ile ya kaunti kuangazia wanafunzi wanaotoka katika jamii sisizojiweza wakati wa kutoa […]
-
WATU WATATU WAUA BARINGO KUSINI NA WAVAMIZI.
Wakazi wa eneo la Tandar Lamaiywe wadi ya Mochongoi Baringo kusini katika kaunti ya Baringo wanagali wanaishi kwa hofu kufuatia shambulizi lililotokea jana ambapo watu watatu wanahofia kufariki huku wengine […]
Top News








