Author: Charles Adika
-
VIJANA WATAKIWA KUJIUNGA NA VYUO ANUWAI ILI KUPATA UJUZI WA KUJIAJIRI.
Mwakilishi wadi ya Statunga eneo bunge la Cherangani Kaunti ya Trans Dkt Daniel Kaburu amewahimiza vijana waliokamilisha masomo ya shule za upili na wale waliokosa karo ya kuendeleza masomo yao […]
-
TOFAUTI ZAENDELEA KUSHUHUDIWA BAINA YA GAVANA NA NAIBU GAVANA POKOT MAGHARIBI.
Naibu gavana kaunti hii ya Pokot magharibi Nicholas Atudonyang amemsuta vikali gavana John Lonyangapuo kwa kile amedai kuendeleza wizi wa fedha za umma huku wakazi wa kaunti hii wakihangaika kwa […]
-
CHAMA CHA KANU POKOT MAGHARIBI CHAPUUZILIA MBALI UWEPO WA MIGAWANYIKO MIONGONI MWA WAGOMBEA.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali madai ya kuwepo migawanyiko miongoni mwa baadhi ya wagombea viti vya kisiasa kupitia chama cha KANU katika kaunti hii.Akizungumza […]
-
MBUNGE WA SABAOTI ASUTWA KWA KULIPAKA TOPE JINA LA SENETA WA TRANSNZOIA
Seneta wa kaunti ya Trans nzoia Michael Mbito amemsuta mbunge wa Saboti Caleb Amisi kwa madai ya kulipaka tope jina lake badala ya kutangaza sera kwa wapiga kura.Mbito ambaye pia […]
-
MKUTANO WA CHAMA CHA KANU WAHAIRISHWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Chama cha KANU kimetangaza kuahirisha mkutano wa chama hicho uliokuwa umeratibiwa kuandaliwa kesho ijumaa katika kaunti hii ya Pokot magharibi hadi siku ambayo itatangazwa baadaye baada ya kusuluhishwa tatizo la […]
Top News









