Author: Charles Adika
-
BARAZA LA WANAHABARI LAKUTANA NA WANAHABARI POKOT MAGHARIBI KUHUSU UCHAGUZI MKUU UJAO.
Baraza la wanahabari nchini limeandaa kikao na wanahabari wa kaunti hii ya pokot magharibi kuhusu utendakazi wao msimu huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Akizungumza baada ya kikao […]
-
WASIWASI WAKUMBA WAKULIMA TRANS NZOIA KUFUATIA KURIPOTIWA VIWAVI JESHI.
Wizara ya kilimo Kaunti ya Trans Nzoia imetangaza kuzuka kwa viwavi jeshi aina ya African fall army worm ambao wameripotiwa na wakulima maeneo mbalimbali Kaunti hiyo wakibainika kuwa hatari ikilinganishwa […]
-
KAMUREN ATIA SAINI MKATABA NA WASOMI BARINGO KUSINI KATIKA JUHUDI ZA KUPIGA JEKI AZMA YAKE KUHIFADHI KITI CHA UBUNGE ENEO HILO.
Mbunge wa Baringo kusini kwenye kaunti ya Baringo Charles Kamuren ameahidi kwamba uongozi wake utazingatia utoaji wa huduma kwa wakazi iwapo atachaguliwa afisini kwa mara ya pili katika uchaguzi wa […]
Top News









