Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA AZIMIO LA UMOJA WAELEZEA IMANI YA KUTWAA UONGOZI WA TAIFA.
Seneta wakaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amesema kuwa mrengo wa azimio la umoja uko katika nafasi bora ya kuongoza taifa baada ya uchaguzi mkuu ujao wa mwezi agosti.Poghisio […]
-
MIRADI YA MAENDELEO POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUKAMILIKA KABLA YA AGOSTI 9.
Serikali ya kitaifa iko mbioni kukamilisha miradi iliyoanzishwa katika kaunti mbali mbali nchini kabla ya kukamilika muhula wa pili wa kuhudumu rais Uhuru Kenyatta ambaye anatarajiwa kustaafu tarehe 9 mwezi […]
-
MUNYA AZURU TRANS NZOIA KUZINDUA UUZAJI WA MBOLEA YA BEI NAFUU.
Waziri wa kilimo Peter Munya anazuru leo kaunti ya Trans nzoia kuzindua uuzaji wa mbolea ya bei nafuu siku chache tu baada ya kuitikia wito wa wakulima na kupunguza bei […]
Top News








