Author: Charles Adika
-
WIZI WA MIFUGO BAINA YA JAMII ZA POKOT NA KARAMOJA WARIPOTIWA KUKITHIRI.
Visa vya utovu wa usalama baina ya jamii za Pokot na Karamoja mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda vimeripotiwa kukithiri siku za hivi karibuni.Kulingana […]
-
POGHISIO AKOSOA WAPINZANI WAKE WANAOGOMBEA USENETA POKOT MAGHARIBI
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali wapinzani wake ambao wametangaza kuwania kiti hicho katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Akizungumza katika mahojiano ya kipekee […]
-
MASOMO KATIKA SHULE ZILIZOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA BARINGO KUREJELEWA JUMA HILI.
Shule zote zilizofungwa katika kaunti ya Baringo kufuatia ukosefu wa usalama zinatarajiwa kufunguliwa jumatano wiki hii.Hii ni kufuatia agizo la serikali ambayo imeahidi kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata usalama wa kutosha […]
-
WAAJIRI TRANS NZOIA WASUSIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYIKAZI DUNIANI.
Viongozi wa wafanyakazi katika Kaunti ya Trans Nzoia wamelalamikia hatua ya waajiri kutofika kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyikazi duniani na kusikia malalamishi ya wafanyakazi wao.Wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyakazi […]
Top News









