Author: Charles Adika
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WAKADIRIA HASARA KUFUATIA UVAMIZI WA VIWAVI JESHI.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea kuweka mikakati ya kukabili kusambaa kwa viwavi jeshi ambao wameripotiwa kuvamia mashamba ya wakulima katika maeneo mbali mbali ya kaunti hii wakati […]
-
MWANGA WA TUMAINI KWA MWANAFUNZI AMBAYE NUSRA AKATIZE NDOTO YAKE.
Siku chache tu baada ya kituo hiki kuangazia masaibu yaliyomkabili mtahiniwa mmoja wa darasa la nane kutoka mtaa wa mawingo road viungani mwa mjini wa makutano Brian Kemboi ambaye alikuwa […]
-
WALIMU WATAKIWA KUTOWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUFUATIA UKOSEFU WA
Mbunge wa kwanza katika kaunti ya Trans nzoia Ferdinand Wanyonyi ametilia mkazo agizo la waziri wa elimu Prof. George Magoha kwa wakuu wa shule nchini kutowatuma nyumbani wanafunzi kwa ajili […]
-
DORIA ZA PAMOJA ZAENDELEZWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA KUHAKIKISHA USALAMA.
Mikakati inaendelea kuwekwa kuhakikisha kwamba usalama unadumishwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana.Kulingana na OCPD wa eneo la Pokot ya kati Bamford Surwa, maafisa […]
Top News








