Author: Charles Adika
-
TAHADHARI YATOLEWA KWA UMMA DHIDI YA MATAPELI WANAOJIFANYA KUWA MAAFISA WA KENYA POWER.
Visa vya utapeli kwa kutumia jina la kampuni ya umeme ya Kenya power vimeripotiwa kukithiri katika kaunti hii ya Pokot magharibi cha hivi punde kikihusu shule ya upili ya wasichana […]
-
WALIMU WAKUMBATIA CBC LICHA YA KUONEKANA KUPINGA AWALI.
Licha ya kuonekana kupinga awali mtaala wa umilisi CBC ulipokuwa ukizinduliwa kwa mara ya kwanza nchini walimu sasa wamekumbatia mtaala huo.Kulingana na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Asilong […]
-
OPARESHENI YA KUWAFURUSHA WAKAZI KATIKA MSITU WA MAKUNGA TRANS NZOIA YAANZISHWA.
Serikali imeanzisha oparesheni ya kuwahamisha wakazi ambao wameuvamia msitu wa makunga eneo bunge la Saboti kwenye kaunti ya Trans nzoia na ambako wanaendeleza shughuli za kilimo.Akizungumza baada ya kikao na […]
Top News







