Author: Charles Adika
-
WAGOMBEA NYADHIFA ZA KISIASA WAONYWA DHIDI YA KUVURUGA AMANI.
Idara ya polisi katika kaunti ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wagombea nyadhifa mbali mbali za siasa katika uchaguzi mkuu ujao kaunti hii kuhakikisha kwamba wanadumisha amani wakati wanapoendeleza kampeni […]
-
-
ONYO YATOLEWA KWA WABAKAJI BUKWO.
Visa vya mimba za mapema, ndoa za mapema pamoja na ubakaji miongoni mwa watoto wa kike vimeripotiwa kukithiri mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda.Akizungumza […]
-
MUKENYANG AAPA KUBADILISHA DHANA KUHUSU WANASIASA.
Mwaniaji kiti cha mwakilishi kina mama katika kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amesema kuwa atazingatia uwazi katika matumizi ya fedha za umma iwapo atatwaa kiti hicho katika uchaguzi […]
-
MOTO WATEKETEZA SOKO LA MAKUTANO POKOT MAGHARIBI.
Mgombea ugavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin ameisuta vikali serikali ya gavana John Lonyangapuo kwa kile amesema kuwa utepetevu katika kushughulikia majanga kaunti […]
Top News









