Author: Charles Adika
-
VITA VYA UKRAINE HAVIJAATHIRI GHARAMA YA MAISHA NCHINI; ASEMA RUTO
Mgombea urais wa chama cha UDA William Ruto amepuuzilia mbali madai ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba gharama ya juu ya maisha kwa sasa imechangiwa pakubwa na vita baina ya Ukraine […]
-
GHARAMA YA MAISHA NCHINI YAZIDISHA VILIO.
Hisia mbali mbali zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia kuendelea kupanda gharama za bidhaa mbali mbali hasa za kimsingi.Wakiongozwa na Richard poriot mkaazi wa mawingo road viungani mwa mji wa makutano, wakaazi […]
-
MRADI WA KENYA CLIMATE SMART WAINGIA AWAMU YA NNE POKOT MAGHARIBI.
Mradi wa kilimo wa Kenya climate smart agriculture project ambao unaendelezwa katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa nia ya kuwawezesha zaidi wakulima, umeanza awamu yake ya nne ya kutoa […]
Top News








