Author: Charles Adika
-
MAKALI YA NJAA YAZIDISHA HOFU TIATI, BARINGO.
Shirika la msalaba mwekundi nchini (kenya red cross) limeelezea wasi wasi wa kuongezeka kwa idadi ya wakenya wanaokabiliwa na tatizo la ukosefu wa chakula iwapo mvua haitashuhudiwa maeneo tofauti nchini.Akiongea […]
-
‘MUGUMO’ WA POKOT MAGHARIBI WAANGUKA.
Baraza la wazee kaunti hii ya Pokot magharibi linatarajiwa kukutana kujadili chanzo cha kuanguka kwa mti wa kihistoria katika kaunti hii unaojulikana kama simotwo au mnagei.Kulingana na mwenyekiti wa baraza […]
-
MIITO YA SIASA ZA AMANI YAENDELEZWA POKOT MAGHARIBI.
Miito imeendelea kutolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa kwa jumla kudumisha amani hasa wakati huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti ili kuandaa […]
-
AFUENI KWA WEKENYA UNGA UKIPUNGUZWA HADI SHILINGI 100 KWA KIPINDI CHA MAJUMA MANNE YAJAYO.
Katika kipindi cha siku 28 zijazo wakenya watapata fursa ya kununua unga wa mahindi kwa bei ya chini kufuatia tangazo la wizara ya kilimo kwamba mfuko wa unga wa kilo […]
-
MAAFISA TRANS NZOIA WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA KAMPENI ZA UCHAGUZI.
Maafisa wa serikali ya kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kukoma kujihusisha na kampeni za uridhi wa gavana Patrick Khaemba na badala yake kuwahudumia wakazi wakati wakisubiri kumpigia kura mgombea yeyote […]
Top News










