Author: Charles Adika
-
VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UCHAGUZI.
Tume ya uchaguzi nchini IEBC imetoa wito kwa vyama vya kisiasa kaunti hii ya Pokot magharibi kuhakikisha kwamba vinazingatia sheria za uchaguzi kikamilifu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe […]
-
NATEMBEYA AKANA KUWEPO NJAMA YA KUWAFURUSHA WAKAAZI KATIKA MASHAMBA YA KITALALE.
Aliyekuwa mshirikishi wa eneo la bonde la ufa ambaye pia anawania kiti cha ugavana kaunti ya Trans nzoia George Natembeya amejitenga na madai kwamba yuko na njama ya kuwafurusha wakazi […]
-
MHUDUMU WA BODABODA AENEZA UJUMBE WA AMANI BARINGO.
Baada ya kaunti ya baringo kuorodheshwa miongoni mwa kaunti 10 zenye uwezekano mkubwa wa kushuhudia ghasia za baada ya uchaguzi, mhudumu mmoja wa bodaboda katika kaunti hiyo amechukua jukumu la […]
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAHUSISHWA KATIKA UPANZI WA MITI.
Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujitenga na maswala ya uhalifu na badala yake kujihusisha na shughuli zitakazowapelekea kupata riziki zao za kila siku.Akizungumza baada ya […]
Top News









